SMS ZA KUOMBA MSAMAHAA KWA MPENZI NAKUOMBA KURUDIANA.


Hivi kweli haya ndiyo mapenzi ama naota
njozi? Nimefanya kila naloweza kuliimarisha
letu penzi lakini naishia kuambulia majonzi,
nimekuwa mtu wa kububujikwa na machozi
kwa sababu ya lako penzi, kama nimekukosea
tafadhali niwie radhi mpenzi, nakupenda na
amini wewe pekee ndiye uliyetimiza ndoto
yangu ya mapenzi.
______________________________________
Hivi ni kosa gani nilililokutendea ambalo
sipaswi kusamehewa? Ni kweli nilikosea
nahitaji kusamehewa mpenzi, plz naomba
nielewe kwani sina mwingine zaidi yako
wewe. Luv u

Post a Comment

Previous Post Next Post