Mahaba mahabani

 "Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda 

kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"

nakupenda laazizi

"Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati

mawazo yangu 

yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla 

yako je wewe ungekuwepo nayo

ungempa nani kwanza? "

*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*

Sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi 
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia 
moyoni mwangu 
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•  




Post a Comment

Previous Post Next Post