💋💓. #GIFT___FROM.......

 

. ❤💕
💓❤️💞 Gari la mapenzi limenisafirisha na kunitua kituo salama Kituo hicho ni kwako mpenzi 💓❤️💕
💓❤️💞Kabla sijafika kwako nilitaman kufanya kitu kwaajili yako 💓❤️💞
💞💓❤️Nilifumbua fumbo pia nikahitaj tabasamu lako lisifike ukingo hakika ww ni dereva na mimi niwako tingo 💞❤️💓
💞❤️💓Nilikuahidi ipo siku ntaifanya siku yako iwe yenye amani na furaha tele 💞❤️💓
❤️💞💓Tena nilitaman ukiiona ufurahie sana Hata ikiwezekana upige vigelegele ❤️💞💓
❤️💞💓Unajua nn kpnz me nakupenda sana ww ila najua kuna watu hawapendi tuwe pamoja nataman sana niwatoe viherehere ❤️💞💓
💓💞❤️Natamani nikupe zawadi nzuri yenye kupendeza utakayoipenda zaiidi ya zote 💓💞❤️
❤️💓💞Zawadi Ni ishara ya upendo ya upendo kwa yule nimpendae nami sina mwingine zaiidi yako 💞❤️💓
💞❤️💓 Naamini utaipokea na kuifurahia mbele yangu kwasabab si yamwingine hio ni yakwako 💞❤️💓
💙 kama vitam basi litam penzi lako ,, sina cha kusema kwako ni raha... 💙
💙 Machoni mwangu wanivutia mashallah, nikiwa taaban we ndiyo kipepeo changu cha kunifariji 💙
💓 Nikiwa jotoni ewe ni kiubaridi changu cha friji
Sasa nitakupenda naahidi 💓



Post a Comment

Previous Post Next Post