Lala salama mpenzi.


  sasa ni usiku najua utakuwa umechoka kwa kazi kutwa nzima ya leo,pumzika mpenzi wangu,ukipanga mambo ya kesho ,lkn elexa ki2 kimoja ,hakuna mwingine moyoni mwangu zaidi yako! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

ulikuwa mwanzo mgumu sana kwangu ,lkn moyo nikajipa na kukuweka wazi kuwa nakupenda!Sikuamini ulivyonikubalia na kunikaribisha moyoni mwako ,nakupenda sana dear ,usiku mwema laaziz wangu!•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

ajua kazi za kutwa nzima leo zitakuwa zimekuchosha sana mpenzi wangu,pumzisha akili yako na mwili wako kwa ajili ya kufanya kazi tena kesho.pole sana dear!nakutakia usiku mwema •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

akili yako imechoka,hata mwili wako pia!huu ni wakati wako wa kupumzika mpenzi,nakutakia usiku mwema,lkn uache moyo wako uwe macho kwa kuwa yupo anayekupenda kwa dhati! Nakupenda sana mpenzi wangu,pokea busu mwanana . . .mwaaaaaa . . . . .•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

 Namini utakuwa umerejea kwenye yako makazi na umechoka na kazi mpenzi, badili yako mavazi, bafuni ingia upate maji kujimwagia, nakupenda la azizi, pole sana na kazi! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Giza limeingia simuoni wakunikumbatia niko kama kinda la njiwa na zaidi ya mshitakiwa mwenye hatiya, sjiui wapi joto kwa kwakulipatia na wajua kipupwe kimewadia, uko wapi my dear?•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

Nnahmu! nnahamu, Nnahamu jmani nnahamu, Nnahmu mpka nashindwa kujzuia,Ninhmu ya kkutkia ucku mwemw. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

usiku huu tulivu nikiwa nimejilaza kitandani natamani nisikie sauti yako ambayo hunikosha na kunikosesha raha nisipoisikia.uwembamba Wa Sauti Yako Hupenya Kwenye Ngoma Ya Masikio Yangu Hunitekenya Na Kuniacha Nikifurahi. Nakupend Wangu Kipenzi*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

(‘.’) Mh!<(   )>_/  /_Nmechoka kusimama hapa kusubiri sms yako ya kunitakia usikumwema. Naenda zangu kulala miguu isije ingia ndani bure…!GD9T*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Usiku Ni “utulivu”Usiku Ni “mzuri”Usiku Ni”upole”Usiku Ni “kimya”Lakini UsikuHaujakamilikaBila..KukutakiaWewe..USIKU=m=w=e=m=a.*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naombaujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA
……………………….
………………….
  , – .(. – .
        ‘.MOYO.’
   WA ‘ .  
. . ‘NGU
 unakusaka popote ulipo ili
 ukudokeze ujumbe usemao;

U~S~I~K~U~ ~M~W~E~M~A~











Post a Comment

Previous Post Next Post