sms za kumshawishi mpenzi wako kwa kiswahili.

 mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu 

kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele kwa 
kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na 
mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat 
na mapenz mazito zito, 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
macho yang hutaman kukuona,mdomo wang hutaman 
kukubusu,mikono hutaman kukutomasa,uko mbali nami ila 
mwili wangu upo kwa ajili yako dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe 
huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno 
hayapo kwake,
nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo 
tayar kumsaliti na lbd aanze yeye
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Post a Comment

Previous Post Next Post