SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

 Lala ulale vyema na upoe moyo wako,lala ulale salama utulie roho yako,lala usingizi mwema upumzishe akili yako,akujalie karima zitimie njozi  zako.usiku mwema

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 
Usiku mwema mpenzi wangu, upepo wa khuba ukuliwaze katika wako mnono usingz! nakupenda kutoka kwenye chembe ya kulia ya moyo wangu mkunjufu, ulale unono dia!
Nakupend laaziz
 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
natamani kuona macho yako ukiyafumba,natamani kusikia sauti za chini za ndoto zako za ucku,natamani kukuona ukijigeuzageuza kitandani! Natamani busu lako la kunitakia ucku mwema ,lkn yote hayo hayawezekani kwakuwa 2po mbali! Nakupenda dear.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•





Post a Comment

Previous Post Next Post