SMS ZA KUMISS MPENZI WAKO.

Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane

****

Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, �tunafiti� kuwa pamoja.





Post a Comment

Previous Post Next Post