SMS ZA KUOMBA MSAMAHA KWA MPENZI ULIEMKOSEA

 Ni kweli nakiri ndani ya nafsi yangu kwamba nilikukosea mpenzi wangu, naomba unisamehe na unipe nafasi nyingine katika moyo wako mpenzi wangu. Nakupenda sana 🔥

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear...

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•





Post a Comment

Previous Post Next Post