Uwe na usingizi mzuri mpenzi wangu.

 Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, 

fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, 
fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo 
kwa kukutumia sms mpenzi wangu, 
Nakutakia usiku mwema
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji 
kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo 
kama ukiwa mbali “NIACHE NIKUPENDE SWEET”


Post a Comment

Previous Post Next Post