🌹 #SIMWACHI_ASILANI 🌹

 


=========================
🍃Asubuhi na mapema mtoto amenijia🍃
🍂Kanipa mapenzi mema nikawa namsifia🍂
🍀Mahaba yake mwanana sijui wapi katoa🍀

@@@@@⁨@@@@@@@@@@@
💋Penzi lake marumaru kanipa nikapokea💋
💞Wala sio waruwaru museme hakutulia💞
💖Ni mcheshi hana paru mrembo ana vutia💖
=========================

✍️Huyu wangu kisamwande siwezi kumkimbia🥰
🥰Yeye ndie my wanje ninae mtegemea💘
💘Niacheni nimpende mengi kashanifanyia💓
🍃Kwake sikai upande medali nitanyakua🍃
💋💋💋💋💋💋💋💋
@@@@@⁨@@@@@
No photo description available.

Post a Comment

Previous Post Next Post