_😞KUACHANA NA WEWE CHITAKI😞_



_Upendo wangu kwako hauelezeki😞 kama yangekua shule kwako ningepata vyote vyeti😞😞_

_kukuacha wewe CHITAKI😞😞wewe ndio bahari yangu mie kwako samaki😞😞_

_wengine kwako watapaki🌹🌹kama wewe tai Mimi ndio Lako koti_

_🌹🌹wanaokaa vikao sisi kitujaji 😘😘waambie ni kama kutwanga maji❤️❤️_

_ameimba diamond 🥰🥰penzi Lako siwez kulikwe bond🥰🥰atakaeleta uchokoz aende kwenye ndond_

*Nikikuambiaga I love you 💙💙Kwa mapozi unaitikia I love you too 💙💙*

*Nikisema I miss you 💙💙jibu Lako and me too💙💙*

*Welcome my boo💙💙uutawale moyo wangu 💙💙*

_💛💛Hila kumbuka Mimi kukuacha wewe CHITAKI 💛💛siwezi kuish na wewe mbali💛💛wewe ndio my darling 💛💛nilekukabiz na mwili💛💛_

_😚kwako Mimi ni mshamba😚😚nilielima zuli shamba😚😚Lina mazao ya upendo 😚😚furaha na amani😚😚tutavuna milele sababu ni letu wenyewe😚sio la wengi Bali ni la wawil pekee😚😚_

*_NAKUPENDA_*

Post a Comment

Previous Post Next Post