Mpenzi labda usiolijua lililopo moyoni, nina kila sababu za kusema

 Mpenzi labda usiolijua lililopo moyoni, nina kila sababu za kusema akuna kama wewe maishani, yani kama mbuyu umempata shetani, kama dira kwenye ramani, umenichanganya na kunidatisha zaidi ya chizi anayeishi jalalani, hakika Moyo wangu unaitaji tulizo la mahaba yako nipate amani...

May be an image of text

Post a Comment

Previous Post Next Post