🌷Katika =MAISHA yako...

 

🌷Katika =MAISHA yako kamwe usikumbuke =MATATIZO yaliyopita kwa sababu =YANAUMIZA Pia usiwaze yajayo maana yanatia =HOFU🌷
🌹=MAISHA ni hapo ulipo ila =MALENGO ni kielelezo cha maisha 💞
💕Daima =TAZAMA mbele kwa =KUJIAMINI Tazama Nyuma kwa =TAHADHARI
pia Tazama ulipo kwa =MATUMAINI🌹
🌹Usimthamin Mtu kwa =UTAJILI wake bali Mthamin kwa =UTU wake🌷
🌹Usimwamin Mtu kwa =MANENO yake subiri Umshuhudie kwa= MATENDO yake💞
🌹Usimdharau Mtu kwa =UMASKINI wake bali Mueshim kwa =TABIA yake🌷
❤Usimchukie Mtu kwa= MAKOSA yake bali msamehe kwa =MADHAIFU yake, 💞Tuzid kuelimishana na kukumbukana na kuombean tusikate tamaa katka maixhaa🙈
May be an illustration

Post a Comment

Previous Post Next Post